Posts

WAANDISHI WANAWAKE WATAKIWA KUJUA NA KUZITAMBUA HAKI ZAO ILI KUEPUKANA NA VITENDO VYA UNYANYASAJI KATIKA MAENEO YA KAZI

Na.  Halima Katala Mbozi Wanahabari  wanawake  nchini wameaswa kufanya kazi kwa kujua haki na maadili ya kazi yao ili kujilinda na maswala ya unyanyaswaji wa kijinsia katika maeneo yao ya kazi. 

MAGAZETI YA LEO AL-HAMIS MARCH 22,2018

Image

PISHI LA LEO: JUISI YA UBUYU NA MAAJABU YAKE KATIKA TIBA

Image
Mwenyezi Mungu ametujalia kuwa na mimea kwa ajili ya binadamu. Kila mti au mmea una makusudio yake ya kuwepo hapa juu ya ardhi. Mbuyu ni miongoni mwa miti yenye faida nyingi na maajabu mengi. Vitu vyote vilivyomo kwenye mbuyu vinatumika kama chakula au dawa kwa faida ya binadamu.   Tukianza na unga wa ubuyu huu   unaelezwa kuwa na vitamini na madini mengi zaidi ya matunda mengine yoyote unayoyafahamu. Inaelezwa kuwa unga wa ubuyu una vitamini C nyingi zaidi ya ile inayopatikana katika machungwa. Aidha, pia ubuyu una kiwango kingi cha madini ya Kashiamu (Calcium) zaidi ya kile ambacho hupatikana katika maziwa ya ng’ombe, hali kadhalika madini mengine ambayo hupatikana katika ubuyu ni madini ya chuma, Magnesiamu na Potasiamu ambayo nayo hupatikana kwa kiwango kingi zaidi ya ile potasiamu ipatikanayo katika ndizi. Ubuyu pia husaidia kujenga neva za fahamu mwilini na ina virutubisho vya kulinda mwili na kuongeza kinga ya mwili hii ni kutokana na k...

DKT. MARRY MWANJELWA AFUNGUA WARSHA CHUO KIKUU CHA SOKOINE CHA KILIMO

Image
Na. Halima Katala Mbozi. Chuo cha Sokoine Cha Kilimo (SUA) kipo tayari kushirikiana na Serikali katika  kutekeleza sera mbalimbali za kilimo nchini ili kufanikisha lengo la Tanzania ya Viwanda.

MAGAZETI YA LEO MARCH 07

Image

NHIF KUBORESHA HUDUMA ZAKE ZA MATIBABU KUANZIA NGAZI YA ZAHANATI HADI HOSPITALI

Image
Na. Halima Katala Mbozi Waratibu wa Wilaya na Mikoa wa Mfuko wa Bima wa Taifa NHIF wametakiwa kuhakikisha kuwa wanatumia vyema Rasilimali zilizopo katika   Kuongeza wanachama wengi zaidi sambamba na upatikanaji wa huduma za matibabu kwa wanachama wake.